Kumbukumbu la Sheria 30:12
Kumbukumbu la Sheria 30:12 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Hakiko juu mbinguni, ili uulize, “Ni nani atakayepanda mbinguni kukileta na kututangazia ili tuweze kutii?”
Shirikisha
Soma Kumbukumbu la Sheria 30Kumbukumbu la Sheria 30:12 Biblia Habari Njema (BHN)
Haziko mbinguni hata mseme, ‘Nani atakayepanda juu mbinguni kutuletea ili tupate kuzisikia na kuzitii?’
Shirikisha
Soma Kumbukumbu la Sheria 30