Mhubiri 1:11
Mhubiri 1:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Hakuna kumbukumbu lolote la vizazi vilivyotangulia; wala hakutakuwa na kumbukumbu lolote la vizazi vitakavyokuja, miongoni mwao wale watakaofuata baadaye.
Shirikisha
Soma Mhubiri 1Mhubiri 1:11 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Hakuna kumbukumbu lo lote la vizazi vilivyotangulia; wala hakutakuwa na kumbukumbu lo lote la vizazi vitakavyokuja, miongoni mwao wale watakaofuata baadaye.
Shirikisha
Soma Mhubiri 1