Mhubiri 1:17
Mhubiri 1:17 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nikatia moyo wangu ili kuijua hekima, na kujua wazimu na upumbavu; nikatambua ya kwamba hayo yote nayo ni kufukuza upepo.
Shirikisha
Soma Mhubiri 1Mhubiri 1:17 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Nikatia moyo wangu ili kuijua hekima, na kujua wazimu na upumbavu; nikatambua ya kwamba hayo yote nayo ni kujilisha upepo.
Shirikisha
Soma Mhubiri 1