Mhubiri 1:2-3
Mhubiri 1:2-3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili. Mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua?
Shirikisha
Soma Mhubiri 1Mhubiri 1:2-3 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili. Mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua?
Shirikisha
Soma Mhubiri 1