Mhubiri 11:5
Mhubiri 11:5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kama vile wewe usipojua njia ya upepo ni ipi, wala jinsi mifupa ikuavyo tumboni mwake mja mzito; kadhalika huijui kazi ya Mungu, afanyaye mambo yote.
Shirikisha
Soma Mhubiri 11Mhubiri 11:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Usivyojua jinsi uhai unavyoingia katika mifupa ya mtoto tumboni mwa mamake, kadhalika huwezi kuelewa matendo ya Mungu, ambayo hufanya kila kitu.
Shirikisha
Soma Mhubiri 11