Mhubiri 11:9
Mhubiri 11:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na kinachotamaniwa na macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.
Shirikisha
Soma Mhubiri 11Mhubiri 11:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Ewe kijana, furahia ujana wako, moyo wako, uchangamke wakati ungali kijana. Fuata mapenzi ya moyo wako na upeo wa macho yako. Lakini kumbuka kwamba Mungu atakuhukumu kadiri ya hayo yote.
Shirikisha
Soma Mhubiri 11Mhubiri 11:9 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na katika maono ya macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.
Shirikisha
Soma Mhubiri 11