Mhubiri 2:11
Mhubiri 2:11 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kisha nikaziangalia kazi zote zilizofanywa kwa mikono yangu, na taabu yote niliyotaabika katika kuzitenda; na tazama, yote ni ubatili na kujilisha upepo, wala faida hakuna chini ya jua.
Shirikisha
Soma Mhubiri 2Mhubiri 2:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Kisha nikafikiria yote niliyokuwa nimefanya kwa mikono yangu, jinsi nilivyotoa jasho katika kufanya hayo. Nikagundua kwamba yote yalikuwa bure kabisa; ilikuwa ni sawa na kufukuza upepo, hapakuwapo faida yoyote chini ya mbingu.
Shirikisha
Soma Mhubiri 2