Mhubiri 3:14
Mhubiri 3:14 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Najua ya kwamba kila kazi aifanyayo Mungu itadumu milele; haiwezekani kuizidisha kitu, wala kuipunguza kitu; nayo Mungu ameifanya ili watu wamche Yeye.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3Mhubiri 3:14 Biblia Habari Njema (BHN)
Najua kwamba lolote atendalo Mungu linadumu milele. Hakuna kinachoweza kuongezwa wala kupunguzwa; Mungu amefanya mambo yawe hivyo kusudi wanadamu wamche yeye.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3