Mhubiri 3:17
Mhubiri 3:17 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nikasema moyoni mwangu, Mungu atawahukumu wenye haki na wasio haki; kwa kuwa kuna wakati huko kwa kila kusudi na kwa kila kazi.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3Mhubiri 3:17 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, nikasema moyoni mwangu, “Haidhuru! Mungu atawahukumu waadilifu, hali kadhalika na waovu, maana amepanga wakati maalumu kwa kila jambo na kwa kila kazi.”
Shirikisha
Soma Mhubiri 3