Mhubiri 3:2-3
Mhubiri 3:2-3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wakati wa kuzaliwa, na wakati wa kufa; Wakati wa kupanda, na wakati wa kung'oa kilichopandwa; Wakati wa kuua, na wakati wa kuponya; Wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga
Shirikisha
Soma Mhubiri 3Mhubiri 3:2-3 Biblia Habari Njema (BHN)
Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa; wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa; wakati wa kuua na wakati wa kuponya; wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga
Shirikisha
Soma Mhubiri 3