Mhubiri 4:12
Mhubiri 4:12 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake, wawili watamstahimili; wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi.
Shirikisha
Soma Mhubiri 4Mhubiri 4:12 Biblia Habari Njema (BHN)
Mtu akiwa peke yake aweza kushindwa na adui, lakini wakiwa wawili watamkabili na kumshinda adui. Kamba tatu zikisokotwa pamoja hazikatiki kwa urahisi.
Shirikisha
Soma Mhubiri 4