Mhubiri 4:4
Mhubiri 4:4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Tena nikagundua kuwa juhudi zote, na ustadi wote katika kazi, hutokana na mtu kumwonea mwingine wivu. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.
Shirikisha
Soma Mhubiri 4Mhubiri 4:4 Biblia Habari Njema (BHN)
Tena niligundua kwamba juhudi zote za mtu na ujuzi wake katika kazi vyatokana na kuoneana wivu. Hayo nayo ni bure kabisa; ni sawa na kufukuza upepo.
Shirikisha
Soma Mhubiri 4