Mhubiri 5:15
Mhubiri 5:15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Alivyotoka tumboni mwa mamaye, atakwenda tena tuputupu kama alivyokuja; asichume kitu chochote kwa ajili ya kazi yake, hata akichukue mkononi mwake.
Shirikisha
Soma Mhubiri 5Mhubiri 5:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Kama vile binadamu alivyokuja duniani uchi toka tumboni mwa mama yake, ndivyo atakavyorudi uchi huko alikotoka. Hataweza kuchukua hata sehemu ndogo ya mapato ya kazi yake.
Shirikisha
Soma Mhubiri 5