Mhubiri 5:19
Mhubiri 5:19 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Tena, kwa habari za kila mwanadamu, ambaye Mungu amempa mali na ukwasi, akamwezesha kula katika hizo, na kuipokea sehemu yake, na kuifurahia amali yake; hiyo ndiyo karama ya Mungu.
Shirikisha
Soma Mhubiri 5Mhubiri 5:19 Biblia Habari Njema (BHN)
Kama Mungu anampa mtu utajiri na mali na kumjalia fursa ya kufurahia hayo, basi binadamu ashukuru na avifaidi hivyo alivyojipatia kwa jasho lake. Hiyo ni zawadi kutoka kwa Mungu.
Shirikisha
Soma Mhubiri 5