Mhubiri 5:2
Mhubiri 5:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Usiseme maneno ya ujinga kwa kinywa chako, wala moyo wako usiwe na haraka kunena mbele za Mungu; kwa maana, Mungu yuko mbinguni, na wewe upo chini, Kwa hiyo maneno yako na yawe machache.
Shirikisha
Soma Mhubiri 5Mhubiri 5:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Fikiri kabla ya kusema, wala usiwe mwepesi kusema chochote mbele ya Mungu, kwa maana Mungu yuko mbinguni na wewe uko duniani. Kwa hiyo usiseme mengi.
Shirikisha
Soma Mhubiri 5