Mhubiri 6:2
Mhubiri 6:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
mtu aliyepewa na Mungu mali, ukwasi, na heshima, hata asipungukiwe na kitu chochote kwa nafsi yake, katika yote anayoyatamani lakini Mungu hamwezeshi kula katika hizo; bali mgeni hula. Hayo ndiyo ubatili hasa, nayo ni ugonjwa mbaya.
Shirikisha
Soma Mhubiri 6Mhubiri 6:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu humjalia mtu utajiri, mali na heshima, asitindikiwe kitu chochote anachotamani, lakini hampi uwezo wa kuvifurahia vitu hivyo; badala yake, mgeni fulani atavifaidi. Hilo nalo ni bure kabisa; ni jambo la mateso makali.
Shirikisha
Soma Mhubiri 6Mhubiri 6:2 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
mtu aliyepewa na Mungu mali, ukwasi, na heshima, hata asipungukiwe na kitu cho chote kwa nafsi yake, katika yote anayoyatamani walakini Mungu hamwezeshi kula katika hizo; bali mgeni hula. Hayo ndiyo ubatili hasa, nayo ni ugonjwa mbaya.
Shirikisha
Soma Mhubiri 6