Mhubiri 7:12
Mhubiri 7:12 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana ulinzi wa hekima ni kama ulinzi wa fedha na ubora wa maarifa ni kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.
Shirikisha
Soma Mhubiri 7Mhubiri 7:12 Biblia Habari Njema (BHN)
Kulindwa na hekima ni kama kulindwa na fedha. Faida ya maarifa ni kwamba hekima hulinda maisha ya mtu aliye nayo.
Shirikisha
Soma Mhubiri 7