Mhubiri 8:12
Mhubiri 8:12 Biblia Habari Njema (BHN)
Wenye dhambi hutenda maovu mara mia, hata hivyo, huendelea kuishi. Walakini, mimi najua kwamba itakuwa heri kwao wamchao Mungu, kwa sababu ya uchaji wao
Shirikisha
Soma Mhubiri 8Mhubiri 8:12 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Ingawa mtu mwovu hufanya maovu mia moja na akaendelea kuishi maisha marefu, najua kwamba itakuwa bora zaidi kwa watu wanaomwogopa Mungu, wamchao Mungu.
Shirikisha
Soma Mhubiri 8