Mhubiri 8:8
Mhubiri 8:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Hakuna mtu aliye na uwezo wa kushikilia roho yake asife; hakuna mtu aliye na uwezo juu ya siku ya kufa. Wakati wa vita hakuna kuponyoka, na uovu hauwezi kumwokoa mwovu.
Shirikisha
Soma Mhubiri 8Mhubiri 8:8 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Hakuna mwenye uwezo juu ya roho aizuie roho; Wala hana mamlaka juu ya siku ya kufa; Wala hakuna kuruhusiwa katika vita vile; Wala uovu hautamwokoa yule aliyeuzoea.
Shirikisha
Soma Mhubiri 8