Mhubiri 9:5
Mhubiri 9:5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lolote, wala hawana tuzo tena; maana hata kumbukumbu lao limesahauliwa.
Shirikisha
Soma Mhubiri 9Mhubiri 9:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana, walio hai hujua ya kwamba watakufa, lakini wafu hawajui chochote. Hawana tuzo tena; hata kumbukumbu lao limesahauliwa kabisa.
Shirikisha
Soma Mhubiri 9