Mhubiri 9:7
Mhubiri 9:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wewe nenda zako, ule chakula chako kwa furaha, unywe mvinyo yako kwa moyo wa kuchangamka; kwa kuwa Mungu amekwisha kuzikubali kazi zako.
Shirikisha
Soma Mhubiri 9Mhubiri 9:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Nenda ukale chakula chako kwa furaha, ukanywe na divai yako kwa moyo mchangamfu, maana Mungu amekwisha ikubali kazi yako.
Shirikisha
Soma Mhubiri 9