Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 2:8 - Linganisha Matoleo Yote

Waefeso 2:8 BHN (Biblia Habari Njema)

Maana, kwa neema ya Mungu mmekombolewa kwa njia ya imani. Jambo hili si matokeo ya juhudi zenu, bali ni zawadi ya Mungu.

Shirikisha
Waefeso 2 BHN

Waefeso 2:8 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu

Shirikisha
Waefeso 2 SUV

Waefeso 2:8 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu

Shirikisha
Waefeso 2 SRUV

Waefeso 2:8 NEN (Neno)

Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kupitia kwa imani, nayo haikutokana na ninyi wenyewe. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu

Shirikisha
Waefeso 2 NEN