Esta 7:6 - Linganisha Matoleo Yote
Esta 7:6 BHN (Biblia Habari Njema)
Esta akamjibu, “Adui yetu mkuu na mtesi wetu, ni huyu mwovu Hamani!” Hapo Hamani akashikwa na hofu mbele ya malkia na mfalme.
Shirikisha
Esta 7 BHNEsta 7:6 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Esta akasema, Ni mtesi, tena ni adui, ndiye huyu Hamani, mtu mbaya kabisa. Mara Hamani akaingiwa na hofu mbele ya mfalme na malkia.
Shirikisha
Esta 7 SUVEsta 7:6 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Esta akasema, Ni mtesi, tena ni adui, ndiye huyu Hamani, mtu mbaya kabisa. Mara Hamani akaingiwa na hofu mbele ya mfalme na malkia.
Shirikisha
Esta 7 SRUVEsta 7:6 NEN (Neno)
Esta akasema, “Mtesi na adui ni huyu mwovu Hamani.” Hamani alifadhaika mbele ya mfalme na malkia.
Shirikisha
Esta 7 NEN