Kutoka 10:17 - Linganisha Matoleo Yote
Kutoka 10:17 BHN (Biblia Habari Njema)
Kwa hiyo sasa ninawasihi mnisamehe dhambi yangu, mara hii moja tu, mkaniombee kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, aniondolee kifo hiki.”
Shirikisha
Kutoka 10 BHNKutoka 10:17 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi sasa, nawasihi, nisameheni dhambi yangu mara hii moja tu, mkamwombe BWANA, Mungu wenu, aniondolee kifo hiki tu.
Shirikisha
Kutoka 10 SUVKutoka 10:17 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Basi sasa, nawasihi, nisameheni dhambi yangu mara hii moja tu, mkamwombe BWANA, Mungu wenu, aniondolee kifo hiki tu.
Shirikisha
Kutoka 10 SRUVKutoka 10:17 NEN (Neno)
Sasa unisamehe dhambi yangu mara moja tena na umwombe BWANA Mungu wako aondoe pigo hili baya kwangu.”
Shirikisha
Kutoka 10 NEN