Kutoka 23:2-3
Kutoka 23:2-3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Usiwafuate walio wengi kutenda uovu; wala usitie ushahidi wako katika neno lolote kwa kugeukia kando na kuandamana na mkutano ili kupotoa hukumu; wala usimpendelee mtu mnyonge katika neno lake.
Shirikisha
Soma Kutoka 23Kutoka 23:2-3 Biblia Habari Njema (BHN)
Usifuate genge la watu kutenda uovu, wala usijumuike na genge la watu kutoa ushahidi mahakamani ili kupotosha haki. Usiwe na upendeleo katika kesi ya maskini.
Shirikisha
Soma Kutoka 23