Kutoka 36:1
Kutoka 36:1 Biblia Habari Njema (BHN)
“Bezaleli na Oholiabu, pamoja na kila mwanamume ambaye Mwenyezi-Mungu amemjalia uwezo na akili ya kujua namna ya kufanya kazi zote katika ujenzi wa hema takatifu, atafanya kazi kulingana na yote ambayo Mwenyezi-Mungu aliamuru.”
Shirikisha
Soma Kutoka 36Kutoka 36:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi Bezaleli na Oholiabu watatenda kazi, na kila mtu mwenye moyo wa hekima, ambaye BWANA amemtia akili na hekima ili ajue kufanya kazi hiyo yote kwa huo utumishi wa mahali patakatifu, kama hayo yote BWANA aliyoyaagiza.
Shirikisha
Soma Kutoka 36Kutoka 36:1 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Basi Bezaleli na Oholiabu watatenda kazi, na kila mtu mwenye moyo wa hekima, ambaye BWANA amemtia akili na hekima ili ajue kufanya kazi hiyo yote kwa huo utumishi wa mahali patakatifu, kama hayo yote BWANA aliyoyaagiza.
Shirikisha
Soma Kutoka 36