Ezekieli 11:20
Ezekieli 11:20 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
ili waende katika amri zangu, na kuyashika maagizo yangu, na kuyatenda; nao watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
Shirikisha
Soma Ezekieli 11Ezekieli 11:20 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kisha watafuata amri zangu na kuwa waangalifu kutii sheria zangu. Watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao.
Shirikisha
Soma Ezekieli 11