Ezekieli 2:5
Ezekieli 2:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Wakisikia au wasiposikia, maana wao ni watu waasi, walau watatambua kwamba nabii amekuwapo miongoni mwao.
Shirikisha
Soma Ezekieli 2Ezekieli 2:5 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kama watasikiliza au hawatasikiliza, kwa kuwa wao ni nyumba ya kuasi, watajua nabii amekuwa miongoni mwao.
Shirikisha
Soma Ezekieli 2