Ezekieli 34:31
Ezekieli 34:31 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na ninyi, kondoo wangu, kondoo wa malisho yangu, ni wanadamu, na mimi ni Mungu wenu, asema Bwana MUNGU.
Shirikisha
Soma Ezekieli 34Ezekieli 34:31 Biblia Habari Njema (BHN)
“Nyinyi, kundi la kondoo wangu, ni nyinyi watu wangu, nami ni Mungu wenu. Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nimesema.”
Shirikisha
Soma Ezekieli 34