Ezekieli 38:16
Ezekieli 38:16 Swahili Revised Union Version (SRUV)
nawe utapanda juu uwajie watu wangu, Israeli, kama wingu likiifunika nchi; itakuwa katika siku za mwisho, nitakuleta upigane na nchi yangu, ili mataifa wanijue, nitakapotakaswa kupitia kwako, Ewe Gogu, mbele ya macho yao.
Shirikisha
Soma Ezekieli 38Ezekieli 38:16 Biblia Habari Njema (BHN)
Utawakabili Waisraeli, kama wingu linalotanda juu ya nchi. Wakati huo nitakutuma uishambulie nchi yangu, ili mataifa yajue kwamba nimekutumia wewe Gogu ili nioneshe utakatifu wangu mbele yao.
Shirikisha
Soma Ezekieli 38Ezekieli 38:16 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
nawe utapanda juu uwajilie watu wangu, Israeli, kama wingu kuifunika nchi; itakuwa katika siku za mwisho, nitakuleta upigane na nchi yangu, ili mataifa wanijue, nitakapotakaswa kwako, Ewe Gogu, mbele ya macho yao.
Shirikisha
Soma Ezekieli 38