Ezekieli 38:23
Ezekieli 38:23 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nami nitajitukuza, na kujitakasa, na kujidhihirisha, mbele ya macho ya mataifa mengi; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.
Shirikisha
Soma Ezekieli 38Ezekieli 38:23 Biblia Habari Njema (BHN)
Ndivyo nitakavyofanya mataifa yote yaone ukuu wangu na utakatifu wangu. Ndipo watakapotambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu.”
Shirikisha
Soma Ezekieli 38