Ezekieli 39:25
Ezekieli 39:25 Biblia Habari Njema (BHN)
“Kwa hiyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Sasa nitawahurumia Waisraeli wazawa wa Yakobo, na kuwarudishia fanaka yao. Daima nataka jina langu takatifu liheshimiwe.
Shirikisha
Soma Ezekieli 39Ezekieli 39:25 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
“Kwa hiyo hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: Sasa nitamrudisha Yakobo kutoka utumwani, nami nitawahurumia watu wote wa Israeli, nami nitakuwa na wivu kwa ajili ya Jina langu takatifu.
Shirikisha
Soma Ezekieli 39