Ezra 8:21
Ezra 8:21 Biblia Habari Njema (BHN)
Kisha, nilitoa maagizo kuwa sote tufike karibu na mto Ahava ili tufunge na kujinyenyekeza mbele za Mungu wetu na kumwomba atulinde na kutuongoza katika safari yetu pamoja na watoto wetu.
Shirikisha
Soma Ezra 8Ezra 8:21 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ndipo nikaamuru kufunga, hapo penye mto Ahava, ili tupate kujinyenyekeza mbele za Mungu, na kutafuta kwake njia iliyonyoka, kwa ajili yetu sisi wenyewe, na kwa ajili ya watoto wetu, na kwa mali yetu yote.
Shirikisha
Soma Ezra 8