Wagalatia 3:11
Wagalatia 3:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ni dhahiri ya kwamba hakuna mtu ahesabiwaye haki mbele za Mungu katika sheria; kwa sababu Mwenye haki ataishi kwa imani.
Shirikisha
Soma Wagalatia 3Wagalatia 3:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Ni dhahiri kwamba sheria haiwezi kumfanya mtu kuwa mwadilifu; maana Maandiko yasema: “Mwadilifu kwa imani ataishi.”
Shirikisha
Soma Wagalatia 3