Wagalatia 4:4-5
Wagalatia 4:4-5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana.
Shirikisha
Soma Wagalatia 4Wagalatia 4:4-5 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Lakini ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe, ambaye alizaliwa na mwanamke, akazaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe wale waliokuwa chini ya sheria, ili tupate kupokea zile haki kamili za kufanywa watoto wa Mungu.
Shirikisha
Soma Wagalatia 4