Wagalatia 6:14
Wagalatia 6:14 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini mimi sitajivunia kamwe chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo; maana kwa njia ya msalaba huo ulimwengu umesulubiwa kwangu, nami nimesulubiwa kwa ulimwengu.
Shirikisha
Soma Wagalatia 6Wagalatia 6:14 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini mimi, la hasha, nisione fahari juu ya kitu chochote ila msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambao kwa huo ulimwengu umesulubishwa kwangu, na mimi kwa ulimwengu.
Shirikisha
Soma Wagalatia 6