Mwanzo 21:33 - Linganisha Matoleo Yote
Mwanzo 21:33 BHN (Biblia Habari Njema)
Abrahamu akapanda mkwaju huko Beer-sheba, akaomba kwa jina la Mwenyezi-Mungu, akamwabudu Mungu, Mungu wa milele.
Shirikisha
Mwanzo 21 BHNMwanzo 21:33 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ibrahimu akapanda mkwaju huko Beer-sheba, akaliitia huko jina la BWANA Mungu wa milele.
Shirikisha
Mwanzo 21 SUVMwanzo 21:33 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Abrahamu akapanda mkwaju huko Beer-sheba, akaliitia huko jina la BWANA Mungu wa milele.
Shirikisha
Mwanzo 21 SRUVMwanzo 21:33 NEN (Neno)
Abrahamu akapanda mti wa mkwaju huko Beer-Sheba, na hapo akaliitia jina la BWANA, Mungu wa milele.
Shirikisha
Mwanzo 21 NEN