Mwanzo 25:26
Mwanzo 25:26 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Baadaye, ndugu yake akatoka, mkono wake ukiwa umemshika Esau kisigino; akaitwa jina lake Yakobo. Isaki alikuwa mwenye miaka sitini Rebeka alipowazaa.
Shirikisha
Soma Mwanzo 25Mwanzo 25:26 Biblia Habari Njema (BHN)
Wa pili alizaliwa akiwa amemshika Esau kisigino, hivyo wakampa jina Yakobo. Isaka alikuwa na umri wa miaka sitini wakati Esau na Yakobo walipozaliwa.
Shirikisha
Soma Mwanzo 25