Mwanzo 38:9
Mwanzo 38:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini Onani alijua kwamba hao watoto wasingekuwa wake. Kwa hiyo, alipolala na mke wa nduguye, alimwaga chini mbegu ya uzazi, asije akampatia nduguye watoto.
Shirikisha
Soma Mwanzo 38Mwanzo 38:9 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Lakini Onani alijua kwamba uzao haungekuwa wake, kwa hiyo kila alipokutana kimwili na mke wa ndugu yake, alimwaga chini mbegu za kiume ili asimpatie ndugu yake uzao.
Shirikisha
Soma Mwanzo 38