Mwanzo 46:29
Mwanzo 46:29 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
gari kubwa zuri la Yosefu liliandaliwa, naye akaenda Gosheni kumlaki baba yake Israeli. Mara Yosefu alipofika mbele yake, alimkumbatia baba yake, akalia kwa muda mrefu.
Shirikisha
Soma Mwanzo 46Mwanzo 46:29 Biblia Habari Njema (BHN)
Yosefu akapanda gari lake la farasi, akaenda kumlaki Israeli, baba yake, huko Gosheni. Alipomfikia baba yake, alimkumbatia na kulia kwa kitambo kirefu.
Shirikisha
Soma Mwanzo 46