Waebrania 11:6
Waebrania 11:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu. Kwa maana kila mtu anayemwendea Mungu ni lazima aamini kwamba Mungu yuko, na kwamba huwatuza wale wanaomtafuta.
Shirikisha
Soma Waebrania 11Waebrania 11:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.
Shirikisha
Soma Waebrania 11Waebrania 11:6 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.
Shirikisha
Soma Waebrania 11