Waebrania 13:16
Waebrania 13:16 Biblia Habari Njema (BHN)
Msisahau kutenda mema na kusaidiana, maana hizi ndizo tambiko zinazompendeza Mungu.
Shirikisha
Soma Waebrania 13Waebrania 13:16 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana; maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Mungu.
Shirikisha
Soma Waebrania 13Waebrania 13:16 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana; maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Mungu.
Shirikisha
Soma Waebrania 13