Waebrania 3:1
Waebrania 3:1 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kwa hiyo, ndugu watakatifu, wenye kuushiriki mwito wa mbinguni, mtafakarini sana Mtume na Kuhani Mkuu wa maungamo yetu, Yesu
Shirikisha
Soma Waebrania 3Waebrania 3:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Ndugu zangu, watu wa Mungu ambao mmeitwa na Mungu, fikirini juu ya Yesu Mtume na Kuhani Mkuu wa imani tunayoiungama.
Shirikisha
Soma Waebrania 3