Waebrania 3:11 - Linganisha Matoleo Yote
Waebrania 3:11 BHN (Biblia Habari Njema)
Basi, nilikasirika, nikaapa: ‘Hawataingia mahali pangu pa pumziko.’
Shirikisha
Waebrania 3 BHNWaebrania 3:11 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.
Shirikisha
Waebrania 3 SUVWaebrania 3:11 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.
Shirikisha
Waebrania 3 SRUVWaebrania 3:11 NEN (Neno)
Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu, ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’”
Shirikisha
Waebrania 3 NEN