Isaya 30:18
Isaya 30:18 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa ajili ya hayo BWANA atangoja, ili awaonee huruma, na kwa ajili ya hayo atatukuzwa, ili awarehemu; kwa maana BWANA ni Mungu wa hukumu; heri wote wamngojao.
Shirikisha
Soma Isaya 30Isaya 30:18 Biblia Habari Njema (BHN)
Hata hivyo, Mwenyezi-Mungu anangoja awafadhili, atainuka na kuwaonea huruma. Maana, Mwenyezi-Mungu ni Mungu atendaye haki. Heri wote wale wanaomtumainia.
Shirikisha
Soma Isaya 30