Isaya 51:7
Isaya 51:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nisikilizeni, ninyi mjuao haki, watu ambao mioyoni mwenu mna sheria yangu; msiogope masuto ya watu, wala msifadhaike kwa sababu ya dhihaka zao.
Shirikisha
Soma Isaya 51Isaya 51:7 Biblia Habari Njema (BHN)
“Nisikilizeni enyi mjuao mambo ya haki, ambao sheria zangu zimo mioyoni mwenu. Msiogope dharau za watu, wala kufadhaishwa na masimango yao.
Shirikisha
Soma Isaya 51