Isaya 6:6
Isaya 6:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia; naye alikuwa na kaa la moto mkononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa kwa makoleo toka juu ya madhabahu
Shirikisha
Soma Isaya 6Isaya 6:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, mmoja wa hao malaika akaruka kunijia, akiwa ameshika mkononi koleo lililokuwa na kaa la moto alilolitwaa madhabahuni.
Shirikisha
Soma Isaya 6