Isaya 8:20
Isaya 8:20 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.
Shirikisha
Soma Isaya 8Isaya 8:20 Biblia Habari Njema (BHN)
Hakika anayesema hivyo hajapata kuona mwanga. Lakini nyinyi shikilieni lile agizo na fundisho la Mungu.
Shirikisha
Soma Isaya 8