Isaya 9:4
Isaya 9:4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana umeivunja nira ya mzigo wake, na gongo la bega lake, na fimbo yake yeye aliyemwonea, kama katika siku ya Midiani.
Shirikisha
Soma Isaya 9Isaya 9:4 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana nira nzito walizobeba, nira walizokuwa wamefungwa, na fimbo ya wanyapara wao, umezivunjavunja kama wakati wa Wamidiani.
Shirikisha
Soma Isaya 9