Yakobo 1:20 - Linganisha Matoleo Yote
Yakobo 1:20 BHN (Biblia Habari Njema)
Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.
Shirikisha
Yakobo 1 BHNYakobo 1:20 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.
Shirikisha
Yakobo 1 SUVYakobo 1:20 SRUV (Swahili Revised Union Version)
kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.
Shirikisha
Yakobo 1 SRUV